VIDEO: Ajali ya Basi na Lori Kimara Dsm, yote yameteketea kwa moto

October 30 2016 maeneo ya Kimara Stop Over Dar es Salaam imetokea ajali ambayo imehusisha basi la abiria la Safari Njema (T990 AQF) ambalo limegongana na lori T534 BYJ ambapo magari yote yaliteketea kwa moto baada ya kugongana kusababisha kifo cha 

abilia mmoja na majeruh kumi 

CONVERSATION

Back
to top